RC SENYAMULE AMWAPISHA DC MPYA- CHEMBA MHE. GERALD MONGELA
Na Barnabas Kisengi Dodoma Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amemuapisha Mkuu wa Wilaya ya chimba Mkoani Dodoma uapisho imefanyika Januari 30.2023 katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa mkoa na kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali wa Serikali ya mkoa na wilaya, viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed