RC SENYAMULE AMWAPISHA DC MPYA- CHEMBA MHE. GERALD MONGELA

Na Barnabas Kisengi Dodoma Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amemuapisha Mkuu wa Wilaya ya chimba Mkoani Dodoma uapisho imefanyika Januari 30.2023 katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa mkoa na kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali wa Serikali ya mkoa na wilaya, viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini.